Diamond Platnumz – Sikomi Lyrics | 9jabaze | The site that provides the most complete music chords

Are you looking for a topic Diamond Platnumz – Sikomi Lyrics | 9jabaze right? If so, then you can watch it right here.

Diamond Platnumz – Sikomi Lyrics | 9jabaze | You can find many other song chords here

Advertisement pool

Diamond Platnumz - Sikomi Lyrics
Diamond Platnumz – Sikomi Lyrics

wanasemanga mapenzi safari
Unavyopita ndo jinsi unajongea
Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea
niliposikia gabari
yakisifika nikakesha nangojea ah
Akabariki jalali na nikawika muziki
Nikautea
Ile kumpaka maka
Nikajia ndio kwa gomo movi
Kumbe mapenzi hayataki haraka
Nikama tango natia tu chumyi
Mwenzenu nikaoza haswa
na kuitia kitandani mjuzi
Eti nataka fukuza paka
Badala ya mbwa nikafuga mbuzi

mmh
wivu ukanifanya nikagomban na marafiki
ugomvi na mamangu akiniambia siambiliki
Moyo ukanambia Naseeb sasa mapenzi basi
Ila nang’ang’ania najaribu kuipinga nafsi
Esma ananambia mdogo wangu mapenzi basi
Ila nang’ang’ania
nikiumizwa na huyu kesho mwingine

Ooh mboni sikomo sikomi sikomi
Richa ya mateso haya
Najiuliza oh sikomi
Oh sikomi mbona (Sikomi)
Mbona jamani sikomi
Licha ya mateso haya ah
mmmh

Aliyonifanyia wa central
Akia-mungu siyawezi sema
Ila nimejifunza kesho siwaamini sinema
Moyo walinipatia mateso
Siwezi kumeza siwezi tema
mana sikushanga ile ghafla
toka ccm kwenda chadema
wanasema kitanda ukitandika sharti ukikalie
nikajitia ukamanda yatakwisha
wacha nivumilie kilakiza kikitanda
ndo visa machozi mi nilie
Penzi yakatia parapanda
Kuwaita waje washambulie
aah acha na penny we darling
nilomuhongaga gari aliponambia ana mimba
mwisho wa siku akaichomoa chali

Molah akanitunuku Zari
Akanizalia dume na mwali
Nilivomjinga nika-cheat aibu mpaka
Kwa vyombo vya habari
Moyo unanambia Naseeb sasa mapenzi basi
Ila nag’ang’ania najaribu kuipinga nafsi
Laizer ananambia simba mapenzi basi
Ila nang’ang ania nikiumizwa na huyu kesho na mwingine

Ooh mboni sikomo
Mbona Sikomi
Mboona jamani sikomi
Licha ya mateso haya
Nishafumaniwa oh sikomi
Nikafumaniwa mimi(Sikomi)
Nishapambana na watu (Sikomi)
Licha ya mateso haya ah

Mateso mama
Ayo Laizer

GET AUDIO BELOW
DOWNLOAD MP3: Diamond Platnumz – Sikomi

Advertisement pool

Published on: November 30, 2017. at: 06:35

  • POST VIEWS
    46
  • You can find more useful information here: https://australia.xemloibaihat.com/lyric/

    Diamond Platnumz – Sikomi Lyrics | 9jabaze And searches related to this topic

    #Diamond #Platnumz #Sikomi #Lyrics #9jabaze

    Diamond Platnumz – Sikomi Lyrics | 9jabaze

    >>See more useful information provided by us here: https://australia.xemloibaihat.com/.

    Review the information related to the topic Diamond Platnumz – Sikomi Lyrics | 9jabaze again

    Advertisement pool

    Diamond Platnumz - Sikomi Lyrics
    Diamond Platnumz – Sikomi Lyrics

    wanasemanga mapenzi safari
    Unavyopita ndo jinsi unajongea
    Ila niendako ni mbali sijui ka ntafika sababu natembea
    niliposikia gabari
    yakisifika nikakesha nangojea ah
    Akabariki jalali na nikawika muziki
    Nikautea
    Ile kumpaka maka
    Nikajia ndio kwa gomo movi
    Kumbe mapenzi hayataki haraka
    Nikama tango natia tu chumyi
    Mwenzenu nikaoza haswa
    na kuitia kitandani mjuzi
    Eti nataka fukuza paka
    Badala ya mbwa nikafuga mbuzi

    mmh
    wivu ukanifanya nikagomban na marafiki
    ugomvi na mamangu akiniambia siambiliki
    Moyo ukanambia Naseeb sasa mapenzi basi
    Ila nang’ang’ania najaribu kuipinga nafsi
    Esma ananambia mdogo wangu mapenzi basi
    Ila nang’ang’ania
    nikiumizwa na huyu kesho mwingine

    Ooh mboni sikomo sikomi sikomi
    Richa ya mateso haya
    Najiuliza oh sikomi
    Oh sikomi mbona (Sikomi)
    Mbona jamani sikomi
    Licha ya mateso haya ah
    mmmh

    Aliyonifanyia wa central
    Akia-mungu siyawezi sema
    Ila nimejifunza kesho siwaamini sinema
    Moyo walinipatia mateso
    Siwezi kumeza siwezi tema
    mana sikushanga ile ghafla
    toka ccm kwenda chadema
    wanasema kitanda ukitandika sharti ukikalie
    nikajitia ukamanda yatakwisha
    wacha nivumilie kilakiza kikitanda
    ndo visa machozi mi nilie
    Penzi yakatia parapanda
    Kuwaita waje washambulie
    aah acha na penny we darling
    nilomuhongaga gari aliponambia ana mimba
    mwisho wa siku akaichomoa chali

    Molah akanitunuku Zari
    Akanizalia dume na mwali
    Nilivomjinga nika-cheat aibu mpaka
    Kwa vyombo vya habari
    Moyo unanambia Naseeb sasa mapenzi basi
    Ila nag’ang’ania najaribu kuipinga nafsi
    Laizer ananambia simba mapenzi basi
    Ila nang’ang ania nikiumizwa na huyu kesho na mwingine

    Ooh mboni sikomo
    Mbona Sikomi
    Mboona jamani sikomi
    Licha ya mateso haya
    Nishafumaniwa oh sikomi
    Nikafumaniwa mimi(Sikomi)
    Nishapambana na watu (Sikomi)
    Licha ya mateso haya ah

    Mateso mama
    Ayo Laizer

    GET AUDIO BELOW
    DOWNLOAD MP3: Diamond Platnumz – Sikomi

    Advertisement pool

    Published on: November 30, 2017. at: 06:35

  • POST VIEWS
    46
  • Thank you very much for your interest in our article. We hope this information is of great value to you.

    Leave a Reply

    Your email address will not be published. Required fields are marked *